Wanahabari Kuchangisha Fedha Kuwasaidia Wagonjwa wa Kansa

SISI Wanataaluma ya Habari hapa nchini tumeamua kuungana pamoja. Lengo kubwa likiwa kusaidiana katika matatizo mbali mbali hasa ya kiafya. Muungano huu hasa umechagizwa na kuugua kwa baadhi ya wenzetu magonjwa sugu ikiwemo saratani. Tumeungana wanataaluma kutoka vyombo vya habari mbalimbali yakiwemo magazeti, Televisheni, Radio na Blogu anuai. Tuko chini ya mwamvuli wa kampeni maalum iitwayo ‘Media Car Wash for …

Movemba: Kampeni ya Mwamko Dhidi ya Kansa ya Tezi Dume

KATIKA mwezi wa Novemba kila mwaka jumuiya za kimataifa huadhimisha tukio ambalo hujulikana kama Movemba. Kampeni hiyo inahusisha kukuza kwa masharubu, kukusanya fedha na kuleta mwamko na ufahamu wa masuala ya afya kwa wanaume kama vile kansa ya tezi dume, kansa ya pumbu na saratani nyingine nyingi zinazowapata wanaume. Jina hiloni mchanganyiko wa neno “masharubu” na “Novemba”. Kampeni hiyo ya …