CCM Waweka Hadharani Kikosi cha Kampeni Uchaguzi Mkuu

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam KAMATI Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) taifa Agosti 17, 2015 imekutana katika kikao chake cha siku moja kilichofanyika katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es Salaam na kuteuwa timu ya kampeni ya chama hicho. Kikao hicho cha kamati kilichoongozwa na Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya …

IFM Yakanusha Kumpigia ‘Kampeni’ Lowassa

SERIKALI YA WANAFUNZI CHUO CHA USIMAMIZI WA FEDHA (IFM-SO) YAKANUSHA KUMPIGIA DEBE LOWASSA SERIKALI ya wanafunzi wa chuo cha usimamizi wa fedha (IFMSO), kupitia msemaji wake mkuu ambaye ni Rais wa Serikali ya wanafunzi, ndugu Clinton Boniface inakanusha taarifa zilizotolewa na gazeti la NIPASHE toleo namba 0578395 la tarehe 19/02/2015, lenye kichwa cha habari “WANAFUNZI WA IFM WAMTAKA LOWASA URAIS” …