Kalunde Bendi Watumbuiza Eid Pili Ndani ya GMB Mbezi

Mkurugenzi wa bendi ya Kalunde Deo Mwanambilimbi akiimba wakati bendi hiyo ilipotumbuiza katika klabu ya GMB Mbezi jijini Dar es salaam Maarufu kwa Mbaga katika siku ya pili ya sikukuu ya Idd, kulia ni mwanamuziki Bijuu wa bendi hiyo. Wanamuziki wa bendi hiyo wakiimba katika onesho hilo lililofanyika kwenye klabu ya GMB Mbezi jijini Dar es salaam. Mwanamuziki wa bendi …