Tanzania Yahamashisha Matumizi ya Jotoardhi Kupunguza Kero ya Umeme

Na Benedict Liwenga, Maelezo-Mbeya KUTOKANA na ongezeko la mahitaji ya nishati ya umeme nchini, nishati ya jotoardhi imetajwa kuwa ni muhimu kwa kuwa itaisaidia Tanzania kuondokana na tatizo la umeme usiokuwa na uhakika pamoja na kupunguza gharama kubwa zitokanazo na matumizi ya mitambo ya uzalishaji umeme yenye kutumia mafuta. Kauli hiyo imetolewa 8 Agosti, 2015 na Mjiolojia Mkuu toka Wizara …