Boko Haram Wateka Kambi ya Jeshi Nigeria, Shahidi wa ICC Afariki

MAOFISA nchini Nigeria wamesema kuwa kundi la Boko Haram limeuteka Mji na kambi moja ya kijeshi inayotumiwa na wanajeshi wa kimataifa wanaojaribu kukabiliana na wapiganaji hao. Seneta wa Borno Kazkazini Maina Ma’aji Lawan, eneo la Mji wa Baga amesema kuwa wanajeshi waliitoroka kambi yao baada ya kushambuliwa na Boko Haram jumamosi asubuhi. Wakaazi wa Baga, ambao walitoroka kupitia maboti hadi …