Jeshi Linalomtii Rais Nkurunziza Lazima ‘Mapinduzi’ Burundi

JESHI linalomtii Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza jana lilifanikiwa kuzima mapinduzi ya kijeshi yaliyopangwa kufanywa na wanajeshi wafuasi wa Meja Jenerali Godefroid Niyombare aliyetangaza kupitia kituo kimoja cha redio kuwa ameipindua serikali ya Nkurunzinza. Jeshi linalomtii Rais Nkurunziza limesema tayari limeweka ulinzi katika makazi ya rais na limetoa masaa sita kwa wanajeshi wafuasi wa Meja Jenerali Niyombare wajisalimishe kabla ya …

Rais Obama Kulitumia Jeshi Kupambana na Ebola

RAIS wa Marekani, Barack Obama amethibitisha wito wa kulitumia jeshi la nchi hiyo na wale wa akiba iwapo watahitajika kupambana na mlipuko wa ugonjwa wa Ebola Afrika magharibi. Rais Obama amesema wanajeshi hao wataongeza nguvu ya jeshi katika kutoa misaada ya kibinadamu katika eneo hilo. Kundi la kwanza la wanajeshi hao linatarajiwa kupelekwa kusaidia ujenzi wa vituo 17 vya kutolea …