Rais Kikwete Azindua Rasmi Jengo la Biashara Moshi

*KILIMANJARO COMERCIAL COMPLEX RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete azindua rasmi jengo la kitega uchumi mjini moshi Mradi huu ni wa ubia kati ya NSSF, Tanzania Red Cross (TRCS), UMATI na Tanzania Girl Guides Association (TGGA). Jengo hili lina jumla ya mita za mraba 30,050 za kupangisha. Yapo maeneo kwa ajili ya mabenki, sehemu za …