TCRA Yakionya Kituo cha ITV Kukiuka Kanuni za Utangazaji

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KATIKA KAMATI YA MAUDHUI YA MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA DAR ES SALAAM SHAURI LA UKIUKAJI WA KANUNI ZA UTANGAZAJI NAMBA 4/2015 DHIDI YA INDEPENDENT TELEVISION (ITV) UAMUZI UAMUZI WA KAMATI YA MAUDHUI KUHUSU LALAMIKO LA UKIUKAJI WA KANUNI ZA UTANGAZAJI, MWAKA 2005 1.0 Utangulizi: Mnamo tarehe …