Wapiganaji wa IS Walilipua Kanisa Syria

WAPIGANAJI wa dola ya Kiislamu IS, wanadaiwa kulipua Kanisa la kikristu Mji wa Syria wa Palmyra. Kundi la kutetea haki za binadamu nchini Syria limesema kuwa wanamgambo hao wametumia mabomu kulipua hekalu ya kiroma ya Bel. Taarifa zaidi zinasema kuwa uharibifu mkubwa umetokea baadha ya shambulio hilo, ambapo umelibomoa kabisa hekalu hilo. Wiki iliyopita wanamgambo hao wameoneshwa katika video wakilipua …

Wakristo Zaidi Watekwa Nyara

HOFU imetanda baada ya uwepo wa taarifa kuwa raia Wakristo kutoka Syria wametekwa nyara na wanamgambo wa Islamic State. Taariza zaidi kutoka kwa jamii hiyo imethibitisha kwamba zaidi ya raia 200 wametekwa nyara Jumanne baada ya vijiji kadhaa kushambuliwa kaskazini mwa Syria. Inasemekana wengi wa waliotekwa nyara ni wanawake na wazee. Wakati huo huo, mapigano yangali yakiendelea katika maeneo yaliyoko …

Islamic State Wamuua Kinyama Mmarekani, Boko Haram Watimuliwa Chibok

KANDA moja ya video iliowekwa mtandaoni inaonesha mauaji ya kinyama mfanyakazi wa huduma za misaada raia wa Marekani, Abdul Rahman Kassig ambaye anajulikana kama Peter Kassig kabla ya kutekwa nyara na wanamgambo wa Islamic State nchini Syria mwaka uliopita. Video hiyo inamuonyesha mawanamume mmoja anayeonekana kuwa mwanachama wa Islamic State akiwa na kisu mkononi na maandishi yanayosema kuwa Peter Kassig …

Marekani Yatamba Kufanikiwa Mapigano na Islamic State

MKUU wa majeshi ya Marekani Generali Jack Dempsey amesema kampeni ya miezi mitatu dhidi ya dola ya kiislamu ‘Islamic State’ imekuwa na mafanikio, lakini akaeleza wazi kuwa kwa oparesheni hiyo Marekani na washirika wake walikabiliana na vikwazo kwa muda mrefu. Waziri wa Ulinzi wa nchi hiyo, Chuck Hagel aliliambia Bunge la Congress kuwa dola ya kiislamu imedhibitiwa na haiwezi kusonga …