Rais Obama Kupambana na Kundi la Wanamgambo Syria, Iraq

RAIS wa Marekani, Barack Obama ameahidi kuchukua hatua stahiki dhidi ya kikundi cha wanamgambo wa dola ya Kiislam huko Syria na Iraq. Katika hotuba yake kwa taifa hilo iliooneshwa kupitia televisheni ya taifa ameelezea mipango ya utekelezaji dhidi ya wanamgambo hao na kikundi chochote cha kigaidi kitakachoitishia Marekani hakitakua salama milele. Rais Obama pia amesema kwamba kikosi namba 475 watapelekwa …

Ujerumani Kusaidia Silaha Iraq, Marekani Waombwa Silaha

UJERUMANI inatarajia kupeleka silaha kwenye Jeshi la Wakurd wa Iraq zikiwemo bunduki na silaha nzito zinazoweza kutumika kushambulia kwenye vita kukabiliana na mashambulizi ya vifaru vya kivita. Jeshi hilo limekuwa likipambana na wapiganaji wa Kiislamu kaskazini mwa Iraq. Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani, Ursula Von der Leyen alisema silaha hizo zinauwezo wa kutumiwa na wanajeshi wapatao elfu nne ifikapo mwishoni …