Hospitali ya Apollo Kuweka Kambi Kuchunguza Wagonjwa wa Moyo na Mfumo wa Fahamu Tanzania

MWEZI Machi sekta ya afya nchini Tanzania imepokea wataalam kutoka nchi mbalimbali duniani kwa ajili ya kutoa huduma za vipimo, ushauri na matibabu kwa Watanzania. Ujio huu umeleta faida kubwa kwa wagonjwa na wataalamu nchini. Miongoni mwa waliotembelea ni timu ya Madaktari bingwa kutoka Israel na Hospitali za Apollo zilizopo nchini India. Ziara hizi za mwishoni mwa mwezi Machi zilitanguliwa …

Hospitali ya Apollo Yatenganisha Mapacha Walioungana Kutoka Tanzania

WATANZANIA wameendelea kufaidika kwa huduma bora za afya kutoka kwa hospitali ya Apollo iliyokonchini India. Hii ni kufuatia hosiptali hiyo kufanikiwa kuwatenganisha mapacha wa kike Abriana na Adriana waliokuwa wameunganika chini ya kifua na tumbo ni kutoka nchini Tanzania katika upasuaji uliofanyika Novemba 17 Novemba 2014 nchini India. Mapacha waliounganika kwa mtindo huu hujulikana kwa watalaam kama Thoraco Omphalopahus na …

Jitihada za Pamoja Kigezo Kutokomeza Magonjwa Yasioambukizwa Tanzania

KUISHI ni jambo moja. Kuishi maisha yenye afya njema ni kitu kingine kabisa. Hakuna anaeweza kushuhudia juu ya ukweli huu zaidi ya wale wapatao adha itokanayo na athari za magonjwa yasiyo ya kuambukiza. Idadi kubwa ya watanzania watu wazima na watoto wasio na hatia ndio waathirika wanaopata mateso makubwa kutokana na aina mbalimbali ya magonjwa yasiyo ya kuambukizwa ikiwa ni …