Halmashauri Mpanda Yatumia bilioni 2.6 kwa Maendeleo

Na Kibada Ernest, Katavi HALMASHAURI ya Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi kipindi cha mwaka wa fedha 2014/2015 imetekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo yenye jumla ya thamani ya shilingi bilioni 2.6 katika sekta tofauti. Akitoa Taarifa ya utekelezaji wa  miradi ya maendeleo kwa mwaka wa fedha 2014/2015, na mwelekeo wa mpango wa bajeti ya mwaka wa fedha 2014/2015 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya …

Japan Yaipa Halmashauri Monduli Milioni 250

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akiongozana na mwenyeji wake ambaye ni Kaimu Balozi wa Japan nchini Tanzania,Mh. Kazuyoshi Matsunaga wakati alipowasili nyumbani kwa Balozi huyo,Masaki Jijini Dar es salaam,kulikofanyika hafla fupi ya kusaini mkataba wa makubaliano wa kufanikisha Miradi miwili iliyopo kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Monduli,jijini Arusha.Serikali ya Japan imeipatia Halmashauri hiyo dola …

Kikwete Azitaka Halmashauri Kununua Nyumba za NHC

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa katika mradi wa nyumba za gharama nafuu za NHC Mnyakongo zilizopo Kongwa mkoani Dodoma. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akishuhudia jiwe la msingi mara baada ya kuzindua  mradi wa nyumba za gharama nafuu za NHC Mnyakongo zilizopo Kongwa mkoani Dodoma wanaoshuhudia ni pamoja na Naibu Waziri wa Ardhi …

Mlalakuwa Mto Wetu Afya Yetu!

Bango la kuhamasisha usafi katika Mto wa Mlalakuwa, ambalo lilibeba kauli mbiu isemayo “Mlalakuwa Mto Wetu, Afya Yetu” kama lilivyonaswa na thehabari leo. Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuf Mwenda, akizungumza chini ya daraja la Kawe Mlalakuwa kwenye kampeni hiyo ya usafi. Mkuu wa Mkoa wa Dar, Mh. Meck Sadiq nae alikuwepo katika kampeni hiyo muhimu ya usafi kwa …