Freeman Mbowe Akabidhi Magari ya wagonjwa Hai

Magari mawili ya kubebea wagonjwa(Ambulance) yaliyotolewa na Mbunge wa jimbo la Hai,Freeman Mbowe yakiwasili katika viwanja vya soko la Kuni kwa ajili ya kukabidhiwa kwa viongozi wa hosptali ya wilaya ya Hai pamoja na hosptali ya Machame inayosimamiwa na kanisa la KKKT. Haya ni maneno yaliyoandikwa katika magari hayo. Mbunge wa jimbo la Hai,Freeman Mbowe akiwa amembeba mtoto mara baada …