Rais Kikwete Amteua Masaju Kumrithi Werema

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amemteua George Mcheche Masaju kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Uteuzi wa Masaju ulianza Januari 2, 2015 na ataapishwa keshokutwa, Jumatatu, Januari 5, 2015, Ikulu, Dar Es Salaam. Kabla ya uteuzi wake, Masaju alikuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Masaju pia amepata kuwa Mshauri wa Sheria wa Rais wa Jamhuri ya …