Chato-Geita, the Birthplace of TZ’s New President

CHATO is one of the five regions that form Geita in the north western parts of Tanzania. It is Geita’s administrative center. Chato district was formed around 2005 within the Kagera region it was later transferred to the newly created region of Geita in 2012. It is a place of birth to the newly elected president of the United Republic …

UNFPA Watoa Msaada wa Gari la Wagonjwa Masumbwe, Geita

SHIRIKA la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu Duniani(UNFPA) limekabidhi msaada wa gari la wagonjwa lenye thamani ya shilingi milioni 80 katika kituo cha afya cha Masumbwe kilichopo katika Wilaya mpya ya Mbogwe Mkoani Geita. Shirika hilo limetoa vifaa vya kutoa huduma ya upasuaji vyenye thamani ya shilingi milioni 250 katika kituo hicho mbali na kutumia shilingi zaidi ya …