Freeman Mbowe Akabidhi Magari ya wagonjwa Hai

Magari mawili ya kubebea wagonjwa(Ambulance) yaliyotolewa na Mbunge wa jimbo la Hai,Freeman Mbowe yakiwasili katika viwanja vya soko la Kuni kwa ajili ya kukabidhiwa kwa viongozi wa hosptali ya wilaya ya Hai pamoja na hosptali ya Machame inayosimamiwa na kanisa la KKKT. Haya ni maneno yaliyoandikwa katika magari hayo. Mbunge wa jimbo la Hai,Freeman Mbowe akiwa amembeba mtoto mara baada …

Breaking Newz; Mbowe Ashinda Tena Uenyekiti CHADEMA

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amefanikiwa kutetea nafasi yake tena ya kukiongoza chama hicho baada ya kushinda katika uchaguzi wa chama hicho uliyofanyika jijini Dar es Salaam kwenye Ukumbi wa Mlimani City. Kwa mujibu wa taarifa ambazo mtandao huu umezipata kutoka katika eneo la uchaguzi, Freeman Mbowe ametwaa kiti hicho tena baada …