Usonji ‘Autism’ Ugonjwa Unaotishia Familia Tanzania

 Mkurugenzi Mtendaji wa Lotus Clinic, Dialla Kassam (katikati), akifafanua jambo kwa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, wakati wa uzinduzi wa kampeni maalum ya kueneza uelewa kuhusu tatizo la usonji ‘Autism’ nchini Tanzania iliyondaliwa na Lotus Medical Clinic kwa kushirikiana na Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na taasisi ya Autism Education Trust ya Uingereza. Kushoto ni Mwenyekiti wa Chama …

Familia Newala Zachangia Kuwalinda Wanyanyasaji

MKUU wa Polisi Wilaya ya Newala (OCD), Jeremiah Shila amesema baadhi ya wanafamilia wilayani hapo wamekuwa kikwazo kwa mapambano dhidi ya vitendo anuai vya kikatili kwa kile kuwalinda watu wanaokabiliwa na kesi hizo. OCD Shila alitoa kauli hiyo hivi karibuni alipokuwa akizungumzia utendaji wa Dawati Maalum la Jinsia na Watoto la Wilaya hiyo dhidi ya vitendo vya unyanyasaji. Mkuu huyo …

Ebola Ilivyoteketeza Familia Yangu – Alexander Kollie

MFANYAKAZI wa Shirika la madaktari la Medecins Sans Frontieres (MSF) nchini Liberia amesema hawezi kuusahau ugonjwa wa Ebola maishani kwake kwa kile kuteketeza familia yake. Kwa sasa mfanyakazi huyo tayari ametenganishwa na familia yake kutokana na kazi yake, habari hizo zilikuwa ni vigumu kuvumilia kwa namna zilivyomuumiza. Lakini aliokolewa katika hali ya kuchanganyikiwa baada ya kusikia mtoto wake wa kiume …