TFF Yaifuata CRDB, Yafanya Marekebisho ya Katiba

KAMATI ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) iliyokutana Desemba 19 mwaka huu jijini Dar es Salaam, imezingatia upungufu uliopo katika utekelezaji wa matumizi ya tiketi za elektroniki.   Hivyo, Kamati hiyo imeiagiza Sekretarieti ya TFF kuwasiliana na benki ya CRDB inayoendesha mfumo huo wa matumizi ya tiketi za elektroniki kuhusu upungufu huo na kuhakikisha unafanyiwa kazi. …