Kamati ya Fedha na MipangoNchi Wanachama AU, ECA Wakutana Ethiopia

Na Mwandishi Wetu TANZANIA inashiriki mkutano wa nane wa Wataalamu wa Fedha, Uchumi na Mipango kwa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) na Kamisheni ya Uchumi ya Afrika (ECA) umeanza nchini Ethiopia kwa kuwakutanisha wataalamu mbalimbali wa masuala ya Fedha kutoka nchi wanachama wa Umoja wa Afrika. Mkutano huo wa watalaamu ni maandalizi ya Mkutano wa Mawaziri wa Fedha, …