Ebola Sasa ‘Yamfuata’ Obama Marekani

IKIWA ni siku chache baada ya Rais wa Marekani, Barrack Obama kutangaza kutoa askari kwenda kusaidia mapambano na ugonjwa wa Ebora katika nchi zenye ugonjwa huo Afrika, Mgonjwa wa kwanza mwenye virusi vya Ebola amegundulika nchini Marekani. Taarifa zinasema mgonjwa huyo amegundulika akiwa katika Mji wa Dallas, Texas. Maofisa katika kituo cha afya cha Texas Hospitali ya Presbyterian wamesema tayari …

Rais Obama Kutumia Jeshi Kupambana na Ebola Afrika

RAIS wa Marekani, Barrack Obama ametangaza mpango wake wa kuwatuma wanajeshi 3,000 Afrika Magharibi kama njia mojawap ya kusaidia katika mapambano dhidi ya ugonjwa hatari wa Ebola. Rais Obama ametoa kauli hiyo huku akitoa wito kwa jamii ya kimataifa kuchukua hatua za dharura kuzuia kuenea kwa ugonjwa wa Ebola Magharibi mwa Afrika ambao unaenea kwa kasi sana. Bwana Obama amesema …

Daktari Mwingine Aambukizwa Ebola

DAKTARI, Olivette Buck ambaye alikuwa ni miongoni mwa madaktari wanaowatibu wagonjwa wa Ebola nchini Sierra Leone ameguduliwa kuambukizwa ugonjwa huo baada ya kufanyiwa vipimo. Dk. Olivette Buck anakuwa ni daktari wa nne kukumbwa na ugonjwa huo kutoka nchi za Afrika Magharibi. Madaktari wengine watatu walioshikwa na ugonjwa huo tayari wamefariki dunia. Akizungumzia tukio hilo Waziri wa Afya wa Sierra Leone, …

Rais Kikwete Akagua Utayari wa Tanzania Kukabiliana na Ebola

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, Septemba 9, 2014, alikagua huduma na vifaa, pamoja na maandalizi ya kukabiliana na ugonjwa hatari wa Ebola, ili kujiridhisha na utayari wa Tanzania dhidi ya tishio kubwa la ugonjwa huo. Mara tu baada ya kutua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam, akitokea Dodoma, Rais Kikwete amekwenda …

Rais Kikwete Asema Tanzania Imeidhibiti Vema Ebola

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete amesema Serikali yake imejipanga kukabiliana na Ugonjwa wa Ebola na hivyo kuwataka Watanzania wasiwe ma hofu na kuendelea kufanya shughuli zao. Rais Kikwete aliyasema hayo jana mjini Dodoma alipokuwa akiwahutubia wazee wa mkoa huo ikiwa ni utaratibu wake wa kulihutubia taifa kila mwezi. “…Tumejipanga vizuri kuzuia ugonjwa huu (Ebola) usiingie Tanzania. …

‘Citizens Call to Action against Ebola’

EBOLA virus becomes an overwhelming human catastrophe affecting public health, social institutions and economic well-being in Africa. In an open letter, former heads of state as well as leaders from civil society and business launch a petition call for more solidarity and a more coordinated approach to deal with the Ebola outbreak in West Africa.   Ebola is having great …