Mathew Yungwe Ajitosa Kumng’oa Dk Shukuru Kawambwa Bagamoyo

Meneja wa  Kampeni wa Mtangaza nia huyo, James Mbuligwe (kushoto), akizungumza katika mkutano huo.  Katibu wa Sera na Mipango wa Mtangania huyo, Paul Kassanga(kulia), akizungumza kwenye mkutano huo.  Mzee Abdallah Ngumbe akizungumza katika mkutano huo na wakati akimpa ushauri mbalimbali mtangaza nia huyo.  Profesa Sameheni Kejeli akizungumza katika mkutano huo.  Mzee Hussein Lugome akizungumza katika mkutano huo.  Mama mzazi wa …