Tanzania Launches Films Online And Goes Digital..!

 Mwenyekiti wa Proin Group Tanzania, Johnson Lukaza akizungumza kuwashukuru wageni waalikwa waliohudhuria uzinduzi wa manunuzi ya filamu za Kitanzania kupitia mtandao (online) hapo jana katika ukumbi wa ACP House jijini Brussel nchini Ubelgiji na kuudhuriwa na watu wa mataifa mbalimbali. Uzinduzi huo ulifanywa na Balozi wa Tanzania nchini humo, Diodorus Kamala.