Makambako Kuboresha Daftari la Kura

TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KWA KUTUMIA TEKNOLOJIA YA BIOMETRIC VOTER REGISTRATION (BVR) KATIKA KATA TISA (9) ZA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO KUANZIA TAREHE 23/2/2015 HADI 3/3/2015.