TTCL Yatoa Msaada wa Compyuta 10 na Intaneti, Kusaidia Elimu

KAMPUNI ya simu Tanzania imetoa msaada wa komputa kumi pamoja na kifurushi cha internet ya bure yenye kasi ya 2Mbps kwa muda wa miezi sita kwa kituo cha Global Outreach Tanzania vyote vikiwa na thamani ya shilingi milioni ishirini laki moja na tisini na saba elfu mia sita ( Tshs.20, 197,600/=) ili kuendeleza juhudi zinazofanywa na Serikali na wadau wengine …