Coastal Union Yajipanga Kuiangamiza Azam FC

Na Mwandishi Wetu, Tanga TIMU ya Coastal Union imewasili jijini Tanga ikiwa na mikakati mizito ya kuhakikisha inawanyamazisha wapinzani wao Azam FC ikiwa ni muendelezo wa Michuano ya Ligi kuu soka Tanzania bara mchezo unaotarajiwa kucheza kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani wikiendi ijayo. Akizungumza na waandishi wa habari, Ofisa Habari wa Coastal Union, Oscar Assenga amesema kuwa sasa nguvu zao …

Katibu Mkuu Coastal Union Kushtakiwa TFF

KATIBU Mkuu wa Coastal Union, Kassim El Siagi atafikishwa kwenye Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kwa kushinikiza mkutano wa wanachama wa klabu hiyo ufanyike bila kuandaliwa na Kamati ya Utendaji.   Pia El Siagi alitumia vyombo vya habari kuishambulia TFF ambayo haikutambua uamuzi wa mkutano huo ulioelezwa kumdumaza Makamu Mwenyekiti wa klabu hiyo Steven …