Coastal Union Kucheza Kirafiki na Friends Corner

MABINGWA wa Ligi kuu soka Tanzania bara mwaka 1988 Coastal Union ya Tanga kesho Iddi Pili inatarajia kucheza mechi ya kirafiki na timu ya Friends Corner ikiwa ni maandalizi ya kuelekea msimu mpya wa Ligi kuu soka Tanzania bara. Mechi hiyo inatarajiwa kuchezwa Iddi Pili kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani ikiwa ni muendelezo wa mechi za kujipima nguvu kwa ajili …

Wagosi wa Kaya Wamchukua Kocha Jackson Mayanja

Na Mwandishi Wetu MABINGWA wa Ligi kuu soka Tanzania bara mwaka 1988, Coastal Union, Wagosi wa Kaya imeingia mkataba wa miaka miwili na aliyekuwa Kocha Mkuu wa Kagera Sugar, Jackson Mayanja ambaye ni raia wa Uganda kuifundisha timu ya Coastal Union katika msimu ujao wa Ligi kuu soka Tanzania Bara itakayoanza Mwezi Agosti mwaka huu. Utiliaji wa saini wa Kocha …

Coastal Union Wampa Uanachama Mwenyekiti TRFA

Na Mwandishi Wetu MWANACHAMA wa zamani wa Klabu ya Coastal Union ya Tanga, Omari Famau amemuita Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Tanga (TRFA), Said Soud Mafya kutokana na uwezo aliokuwa nao wa kuzipandisha na kuzishusha klabu za soka mkoani hapa. Mwanachama huyo anayejulikana kwa jina la Omari Famau alitoa kauli hiyo jana wakati akizungumza katika mkutano …

Viongozi Coastal Union Wajipanga Kuepuka ‘Aibu’

Na Mwandishi Wetu, Tanga VIONGOZI wa Klabu ya Coastal Union wamewatakiwa kushikamana vilivyo ili kuweza kuhakikisha timu hiyo inafanya vizuri katika michezo yao iliyosalia katika Michuano ya Ligi kuu soka Tanzania Bara. Wito huo ulitolewa na Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Magalula Saidi wakati alipokutana na viongozi wa timu hiyo ofisini kwa lengo la kufahamiana ambapo Makamu Mwenyekiti wa Coastal …

Coastal Union Yatoa Mchezaji Bora Februari

KIUNGO wa timu ya Coastal Union, Godfrey Wambura amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Februari 2015 wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) inayoendelea kutimua vumbi kwenye viwanja mbalimbali nchini. Wambura amechaguliwa kuwa mchezaji bora baada ya jopo la makocha linalofanya majumuisho ya wachezaji bora wa kila mchezo, ambapo kiungo huyo ameweza kuwapiku wachezaji Saimon Msuva wa Young Africans, Abasirim Chidiebere …