RC Katavi Aupa Somo Uongozi wa Chuo Kikuu Huria

Na Kibada Enest, Katavi MKUU wa Mkoa wa Katavi Dk. Ibrahimu Msengi ameshauri Uongozi wa Chuo Kikuu Huria tawi la Mkoa wa Katavi kuwa wabunifu katika kutafuta vyanzo vya mapato kuliko kutegemea Ada ya wanafunzi na ruzuku ya serikali katika kujiendesha kuliko kutegemea pato moja tu ambalo ni ada ya wanachuo. Ametoa rai hiyo wakati akihutubia Jumuiya ya wananchuo na wananchi kwenye hafla …