Mahafali ya 49 Chuo cha Biashara Kampasi ya Mbeya

  Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Musa Uledi akitoa tamko la kuwatunuku vyeti vya Astashahada katika fani za ununuzi na ugavi, uhasibu na uendeshaji wa biashara Wahitimu 37 katika mahafali ya 49 ya Chuo cha Elimu ya biashara (CBE) Kampasi ya Mbeya yaliyofanyika katika viwanya vya Mbeya Hotel.    Makamu mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara(CBE), Taaluma, …