CECAFA Kagame Club Cup ‘On the Door

Where should you stay with a wonderful moments during the match! COUNCIL for East and Central Africa Football Associations (CECAFA), launched the 2015 CECAFA–KAGAME Club Cup tournament in Dar es Salaam on Wednesday July 1 2015. The Kagame Interclub cup tournament will officially commence on the 18th July and end on the 2nd of August in Dar es Salaam. According …

CECAFA Watoa Ratiba Michuano ya Kagame 2015

RAIS wa Baraza la Vyama vya Soka kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati, Leodgar Tenga leo ametangaza kuanza kwa michuano ya kombe la Kagame itakayoanza kutimua vumbi Julai 18, 2015 na kumalizika Agosti 2 mwaka huu jijii Dar es salaam. Akiongea na waandishi wa habari leo katika ofisi za TFF zilizopo Karume, Tenga ameishukuru serikali ya Tanzania na TFF …

CECAFA, TFF Wazungumzia Uchaguzi wa CAF na FIFA

RAIS wa Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), Leodegar Tenga na mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) akiwa na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi wamezungumzia uchaguzi wa CAF na FIFA.   Rais Tenga ameishukuru familia ya TFF kwa kumuunga mkono katika …