Zoezi la Uandikishaji BVR Dar Changamoto Lukuki

Na Mwandishi Wetu WAKATI zoezi la uandikishaji wapigakura likianza leo maeneo mbalimbali ya jijini Dar es Salaam tayari yameanza kujitokeza mapungufu kwa baadhi ya waandikishaji kukosa umakini hasa wa uandikaji majina katika mfumo huo, huku pia kukiwa na baadhi ya watu ambao sio raia wakijitokeza kutaka kujiandikisha, jambo ambalo huenda likasababisha kuandikishwa kwa watu wasiostahili katika zoezi hilo. Mfano katika …

Wasimamizi wa BVR Dar es Salaam Wanolewa Kimaandalizi

Na Aron Msigwa – Dar es Salaam SERIKALI imesema kuwa zoezi la uandikishaji wa wananchi katika Daftari la Kudumu la wapiga kura kwa kutumia mfumo wa BVR jijini Dar es salaam litafanyika kama ilivyopangwa kuanzia Julai 16 hadi 25 mwezi huu kwa mafanikio makubwa kutokana na maandalizi mazuri yaliyofanywa na Tume ya Uchaguzi kwa kushirikiana na Manispaa za mkoa huo. …