Akaunti ya Escrow Yamtesa Pinda Bungeni, Wabunge Wacharuka

Na Joachim Mushi TUHUMA za uchotaji wa fedha Dola za Marekani milioni 200 katika akaunti ya Tegeta Escrow iliyotua bungeni imeendelea kuitesa Serikali huku kukiwa na kila dalili ya kuibuka mazitoka katika tuhumwa hizo. Leo mjini Dodoma wabunge mbalimbali wamechachamaa na kuungana kwa pamoja wakitaka ripoti ya uchunguzi huo iwasilishwe bungeni ili wabunge waijadili na kuitolea uamuzi. Hali ya kuibuka …