Dk Kigwangalla Kumsomesha Mtoto Aliyeiwakilisha Tanzania UN

TAASISI ya Misaada ya Kijamii ya Hamisi Kigwangalla inayomilikiwa na Naibu Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Hamisi Kigwangalla imejitolea kumlipia ada mtoto Getrude Clement kwa kumsomesha kidato cha tano na sita ikiwa ni kutambua mchango wa mtoto huyo kuliwakilisha taifa. Uamuzi huo wa kumsomesha Getrude umekuja baada ya mtoto huyo kukaribishwa kuzungumza kwenye kikao …

Bajeti ya Serikali Yapitishwa Rasmi Bungeni

BAJETI ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2015/2016, imepitishwa na Bunge, huku kwa mara ya kwanza Mbunge wa Vunjo Augustine Mrema akiipinga, lakini wabunge watatu wa upinzani waliiunga mkono. Akitangaza matokeo hayo, Katibu wa Bunge, Dk Thomas Kashililah alisema bajeti hiyo ilipita kwa asilimia 83 baada ya kupigiwa kura za ndiyo na wabunge 219. Dk Kashililah alisema jumla ya …

Maagizo ya Waziri Mkuu Pinda Yaendelea Kufanyiwa Kazi na Polisi!

Miezi kadhaa iliyopita waziri Mkuu Pinda alitoa maagizo wakati anazungumza bungeni kwamba Watanzania wataokuwa wanaandamana “wapigwe tu”. Tokea agizo hilo litolewe na mkuu huyu, polisi wetu wameendelea kuwa wakatili na wanyama dhidi ya Watanzania wenzao kwa kisingizio kwamba wanavunja sheria. Mimi sio hakimu, na wala sitaki kuingia kwenye mjadala kwamba wamevunja sheria au lah! Tatizo ninalo liona hapa ni uvunjaji …

Polisi Wawapiga Mabomu ya Machozi Wabunge Bungeni

POLISI wa Mji Mkuu wa Lagos, nchini Nigeria, wamefyatua gesi ya kutoa machozi ndani ya Jengo la Bunge, na kulazimisha kuahirishwa kwa mjadala muhimu wa bunge hilo kuhusu kurefushwa kwa kipindi cha hali ya tahadhari Kaskazini mwa nchi hiyo. Taarifa za mwaandishi wa habari hizi inaeleza kuwa maofisa wa Polisi walikuwa wakijaribu kumzuia Spika wa Bunge la Wawakilishi, Aminu Tambuwal …