Polisi Wafanikiwa Kukamata Bunduki na Risasi Zilizoibiwa Kituoni Stakishari Dar

JESHI la polisi nchini Tanzania leo limetangaza kupata mafanikio makubwa katika operation maalum inayoendelea ya kuwasaka watu waliohusika katika shambulio la kuvamia kituo cha polisi cha stakshari jijini Dar es Salaam na kuendesha mauaji ya askari wanne wa kituo hicho pamoja na raia waliokua katika kituo hicho huku wakipora kiasi kun]kubwa cha silaha na kutokomea kusikojulikana. Akizungumza na wanahabari muda huu …