Kituo cha Walemavu cha Buhangija Chaomba Zahanati…!

Na Mwandishi Wetu, Shinyanga MKUU wa Wilaya ya Shinyanga Anne Rose Nyamubi ameomba jamii ya Watanzania kusaidia kupatikana kwa Zahanati katika Kituo cha kulelea watoto walemavu cha Buhangija ili kupunguza adha wanazopata watoto hao katika huduma za afya. Kauli hiyo ameitoa katika mazungumzo na mwandishi wa habari hizi ambaye alifika katika kituo hicho akiambatana na ujumbe wa Umoja wa Mataifa …