Boti Yazama na Kuuwa 36, Askari wa UN Wauwawa Somalia

TAARIFA kutoka Kaskazini Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo imeeleza kuwa mashua moja iliyokuwa imebeba bidhaa na abiria imezama na karibu watu 36 wamefariki dunia. Maofisa wanasema kuwa zaidi ya watu 100 wamenusurika. Inaripotiwa kuwa ajali hiyo ilitokea siku ya Jumatatu umbali wa kilomita 30 kutoka Mji wa Kisangani na kusababisa maandamano yaliyofanywa na vijana wenye hasira kwenye Mji …