BOT Kuimarisha Mfumo wa Utoaji Taarifa za Uchumi na Fedha

Frank Mvungi- Maelezo, Bagamoyo SERIKALI ya Tanzania imeahidi kuendelea kuimarisha mfumo wa utoaji taarifa za Uchumi na fedha kwa wananchi ili kuongeza wigo wa wananchi kushiriki katika kukuza uchumi na kuleta maendeleo endelevu. Hayo yamesemwa leo mjini Bagamoyo na Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Juma Reli wakati akifungua Semina kwa waandishi wa habari za Uchumi na Fedha …

Uchakavu wa Shilingi 500, Wailazimu BOT Kutoa Sarafu

Na Frank Mvungi, MAELEZO BENKI Kuu ya Tanzania imetoa toleo jipya la sarafu ya shilingi 500 itakayoanza kutumika Oktoba 2014 itakayokuwa mbadala wa Noti ya shilingi 500 inayoonekana kuchakaa haraka. Hayo yamesemwa leo Jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa Huduma za Kibenki wa benki hiyo, Bw. Emmanuel Boaz wakati wa mkutano na waandishi wa habari. “Noti ya shilingi 500 hupita kwenye mikono …