Bonite Bottlers Wawasaidia Waliokumbwa na Mafuriko Wilayani Moshi

Meneja mwajiri wa kampuni ya Bonite Bottlers, Joyce Sengoda akiwasalimia wananchi katika vijiji vya Mikocheni, Kilungu na Chemchem vilivyofikwa na mafuriko hivi karibuni wakati uongozi wa kampuni hiyo ulipofika kwa ajili ya kutoa msaada. Meneja Masoko na mauzo na wa kampuni ya Bonite Bottlers Ltd Christopher Loiruk akizungumza wakati wa kukabidhi msaada kwa waathirika wa mafuriko yaliyotokea hivi karibuni katika vijiji hivyo. Meneja masoko na …