Hofu Magaidi; Wapiga Bomu Kijijini Morogoro, Wanne Wajeruhiwa

Na Joachim Mushi, Ifakara HOFU ya watu wanaodhaniwa kuwa magaidi imetanda katika Kijiji cha Msolwa Ujamaa, kilichopo Wilaya ya Morogoro Vijijini baada ya watu wawili kupiga bomu la kutupa kwa mkono katika kijiji hicho na kujeruhi vibaya watu wanne waliokuwa wakiwadhibiti watu hao. Akizungumzia jana na dev.kisakuzi.com eneo la tukio mmoja wa wanakijiji aliyeshuhudia tukio hilo, Ibrahim Ally mkazi wa …