Bodi ya Shule Iliyopata ‘Mgao wa Escrow’ Yamtetea Prof. Tibaijuka

BODI ya Wadhamini ya Shirika la Barbro Johansson Girls’ Education Trust (JOHA TRUST au BARBRO) wamiliki wa shule za Sekondari Bingwa ya Barbro iliyopo jijini Dar es Salaam na nyingine ya Kajumulo Girls’ High School iliyopo Manispaa ya Bukoba zilizoingia katika tuhuma za kudaiwa kupata mgao wa fedha za Escrow zimetoa taarifa kumtetea Profesa Anna Tibaijuka ambaye ni mwanzilishi wa …