Mkenya Atolewa Jumba la Big Brother

MWAKILISHI wa Kenya ndani ya jumba la Big Brother, Sabina Anyango ametolewa ndani ya jumba hilo. Sabina ambaye ni mama wa mtoto wa miezi minane na ndio mkenya wa kwanza kufungishwa virago. Inadaiwa kuwa watazamaji na mashabiki wa shindano hilo waliamua kumpigia kura za kumtoa Sabina ili aende kumuhudumia mwanawe. Ikiwa ni siku 14 pekee zilizopita mshiriki Sabina ameonekana kumkumbuka …

Matukio Uzinduzi Shindano la Big Brother Msimu wa Tisa

Meneja Uhusiano wa MultiChoice Tanzania, Barbara Kambogi, akiwakaribisha wageni waalikwa kwenye hafla ya uzinduzi wa shindano la Big Brother HOTSHOTS msimu wa tisa iliyoandaliwa maalum kwa wadau wa DStv na waandishi wa habari usiku wa kuamkia leo kwenye hoteli ya Dar es Salaam Serena. Bi. Kambogi alitoa rai kwa Watanzania kuwa wazalendo kwa kuwapigia kura nyingi washiriki wetu wawili wanaoiwakilisha …