Tanzania Yakubali Kuwa Mlango wa Vietnam Kibiashara EAC

‘Garment 10 Corporation textile Mill’ lilichopo Wilayani  Gia Lam nchini Vietnam juzi. TANZANIA imekubali ombi la Jamhuri ya Kisoshalisti ya Vietnam kuwa mlango wa kuingiza bidhaa za nchi hizo hasa za mashine na vyakula katika soko la nchi wanachama wa Jumuia ya Afrika Mashariki (EAC) ambazo kwa sasa uwezo wa nchi hizo kutengeneza mashine siyo mkubwa sana. Aidha, Tanzania imesema kuwa …