NMB Yaipa MSD Milioni 25 Kusaidia Ujenzi Duka la Dawa kwa Jamii

    BENKI ya NMB imekabidhi kiasi cha sh. Milioni 25 kusaidia Bohari Kuu ya Dawa (Medical Stores Department) katika kuboresha uendeshaji wa maduka na uendelezaji wa ujenzi wa maduka katika mikoa tofauti. Hundi hiyo ilikabidhiwa katika ofisi za MSD zilizopo jijini Dar es Salaam, Afisa Mkuu wa wateja wakubwa  wa NMB Richard Makungwa, alisema msaasa huo ni muendelezo wa mahusiano …

Benki ya NMB Yafanikisha Tamasha la ‘Mtoto Day Out’

BANKI ya NMB imefanikisha kufanyika kwa Tamasha maalum la watoto ‘Mtoto Day Out’ kwa kuwa mdhamini mkuu wa Tamasha hilo. Tamasha hilo ambalo limekutanisha watoto wa maeneo mbalimbali ya jijini Dar es Salaam ambapo pamoja na kufurahi pia wamepata elimu kuhusu umuhimu wa kutunza fedha. Akizungumza na MO Blog kuhusu tamasha hilo, Mratibu wa Elimu ya Fedha wa benki ya …

BENKI YA NMB YAFANIKISHA KUFANYIKA ‘KIDS CIRCUS CARNIVAL’

      BENKI ya NMB Tanzania jana iliungana na Watanzania nchini kusherehekea Siku Kuu ya Eid El Fitr kwa kuwa mmoja wa makampuni wadhamini wa tamasha lililoandaliwa na kampuni ya Azam la Kids Circus Carnival ambalo limehusisha watu wa aina mbalimbali kuanzia watoto na hata watu wazima kufurahi kwa pamoja. Tamasha hilo ambalo linafanyika kwa siku mbili mfululizo yaani …