Petroli na Dizeli Zashuka Bei Tanzania – EWURA

 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati, Maji na Mafuta (Ewura), Felix Ngamlagosi (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es Salaam leo, kuhusu mwenendo wa bei za mafuta nchini na katika soko la Dunia. Kulia ni Mkurugenzi wa Petroli, Godwin Samwel.    Wanahabari wakiwa kwenye mkutano huo. MAMLAKA ya Udhibiti wa Nishati, Maji na …