Beach Soccer: Tanzania Kuvaana na Misri

*Mkutano Mkuu TFF Machi 14, Ajenda Zatajwa TIMU ya Taifa ya Tanzania ya soka la ufukweni (Beach Soccer) inatarajiwa kucheza na timu ya Taifa ya Misri siku ya ijumaa majira ya saa 10 kamili jioni, mchezo utakofanyika katika klabu ya Escape 1 Msasani jijini Dar es salaam.   Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania kinaendelea na mazoezi kujiandaa na …