Barcelona ni Nooomaa, Waiuwa Juventus Watwaa Ubingwa

TIMU ya Barcelona imetawazwa Mabingwa wa Ulaya kwa mara ya tano baada ya kufanikiwa kuichapa timu ya Juventus mabao matatu kwa moja (3-1) katika mechi kali ya fainali iliochezwa katika uwanja wa Olimpiki wa mjini Berlin. Timu ya Barcelona ndiyo waliokuwa wa kwanza kufunga kupitia kwa mchezaji wake Ivan Rakitic mnamo dakika ya nne tu ya mwanzo baada ya kuanza …

Barcelona, Tanzania Veterans ‘Waungana’ na Imetosha

Mkakati wa kutokomeza unyanyapaa na mauaji ya watu wenye ualbino nchini, uitwao IMETOSHA, jana ulianza rasmi kujitokeza kimataifa baada ya kushiriki katika pambano la kimataifa la kirafiki kati ya nyota wa zamani wa Barcelona na Veterani wa Afrika Mashariki.   Katika mpambano huo wa kimataifa uliochezwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na  Waziri wa Habari, …