Umoja wa Azaki za Vijana Watinga Bunge la Katiba

Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma UMOJA wa Azaki za Vijana wakutana na Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta wakiwa na lengo la kuja kuwasilisha mapendekezo yao kwa ajili ya maboresho ya Rasimu ya Pili ya Katiba Mpya. Akizungumza kwa niaba ya vijana wenzake, Kiongozi wa msafara huo Alfred Kiwuyo amesema kuwa Azaki hizo za vijana zilishiriki mchakato mzima wa …