Mzee Auwawa Kikatili Wilayani Rombo

MKAZI wa Kijiji cha Mahida Nguduni, Wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro, Dominick Kavishe (65) mkulima ameuwa kikatili kwa kuchomwa na vitu vyenye ncha kali katika sehemu mbalimbali za mwili wake na watu wasiofahamika. Akizungumzia tukio hilo kwa njia ya simu na mtandao huu, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Robert Boaz amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kuongeza kuwa kwa …