Askari wa JWTZ Brian Salvatory Rweyemamu Kuzikwa Leo Dar

ASKARI wa Jeshi la Wananchi Tanzania, Private Brian Salva Rweyemamu aliyefariki dunia Mei 15, 2014 katika Hospitali ya Jeshi Lugalo jijini Dar es Salaam alipokuwa amelazwa kwa matibabu anatarajiwa kuzikwa leo. Marehemu Private Brian Rweyemamu ambaye ni mtoto wa kwanza wa Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, Salva Rweyemamu atazikwa katika makaburi ya Kinondoni ya Jijini Dar es Salaam mchana. …