Majambazi Wavamia Polisi, Wauwa Askari na Kuiba Silaha

MAJAMBAZI wasiojulikana idadi yao usiku wa kuamkia leo wamevamia Kituo cha Polisi Ikwiriri Wilaya ya Rufiji, Mkoa wa Pwani na kuwauwa askari polisi wawili pamoja na kupora silaha adhaa zilizokuwa zimehifadhiwa kituoni hapo. Taarifa zilizotufikia kutoka eneo la tukio zinasema majambazi hao wasiojulikana idadi yao wakiwa na silaha mbalimbali majira ya saa nane kasorobo za usiku wa kuamkia leo walivamia …