Watanzania Kupiga Kura ya Maoni Katiba Mpya Aprili 2015

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete amesema kuwa endapo mipango yote itakwenda kama inavyoandaliwa, Watanzania watapata nafasi ya kuipigia kura ya maoni Katiba Inayopendekezwa, ili kukamilisha mchakato wa Tanzania kusaka Katiba Mpya. Rais Kikwete amesema hayo Oktoba 22, 2014, wakati alipokutana na kuzungumza na mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao katika Jamhuri ya Watu wa China. Mkutano huo na …